Chapitre 18 - Corrigés des Exercices
EXERCICE 1 : Traduisez en swahili :
Una, ana, wana, tuna, nina, mna, ana, huna, hana, hawana, hatuna, sina, hamna, pana, hapana, mna, hamna, kuna, hakuna.
Una kitabu ? Mtoto ana kichwa kikubwa, kijana huyu ana kisu, ana kitabu, tuna wanyama wengi, Mama ana watoto wengi, wale watoto wana mwalimu mzuri, mna mapapai ? Juma ana viatu safi, nina kikombe kipya, kijiji hiki kina wenyeji wengi, mnyama huyu ana wadudu wengi, una mikono yako michafu, kilima hiki kina miti mengi, kitanda hiki kina shuka jipya, hatuna watoto, una mayai ? Dereva hana gari, gari halina dereva, mkulima ana shamba kubwa.
EXERCICE 2 : Traduisez en français :
- Le blanc a des lourds bagages.
- Je n'ai rien à dire.
- Il y a du pain ? - Il n'y en a pas.
- Ces manguiers ont beaucoup de mangues.
- Cet enfant pauvre n'a pas de nourriture tous les jours.
- Il y a beaucoup d'habitants à Nairobi.
- Cette voiture a beaucoup de problèmes.
- Les membres ont une réunion aujourd'hui.
- Ce lit n'a pas de drap.
- Nous avons un examen de swahili aujourd'hui.
Fermez cette fenêtre pour revenir aux exercices
|