Chapitre 29 - Corrigés des Exercices



EXERCICE 1 : Traduisez en swahili :

  1. Mwana wa baba, wana wa mama, mkoba wa mamangu, nyumba ya wazazi wangu, mpira wa mtoto, sahani za watoto, vyombo vya kaka yangu, nguo za dada yangu, chakula cha wanafunzi, gari la babake, dawa za mamangu, uso wa mwenzangu, nyuso za wenzangu, kijiji cha wavuvi, gunia la makaa, debe ya vitunguu, kilo moja ya nyama, njia ya nyumba, kisima cha kijiji, msomo wa kiswahili.

  2. Mwanangu, wanangu, gari langu, nyumba yangu, kazi yangu, kijiji chako, mjomba wako, nduguzo, babako, mkoba wako, mbwa wako, mumewe, mkewe, wenzake, duka lake, fedha zake, wenzetu, nyumba yetu, shule yetu, mji wetu, mawaziri wetu, nchi yenu, gari lenu, wana wenu, nyimbo zenu, wanafunzi wenu, nguo zao, nyumba yao, nyuso zao, wenzao.

  3. Wangu (mkoba), yangu (mama), wako (mpira), wangu (wanafunzi), lake (shamba), zako (kuku), letu (gari), yake (mashuka), zetu (nguo), chenu (kijiji), zenu (ng'ombe), yao (hospitali), yao (mazao), lake (blanketi), vyake (vikombe).


EXERCICE 2 : Traduisez en français :

  1. Je m'en vais.
  2. Maman n'est pas dans sa cuisine.
  3. Où est chez vous ?
  4. L'enfant n'est pas à l'école, il est retourné chez lui.
  5. Cette personne sauvage a pris mon sac.
  6. Il y a beaucoup de maïs chez nous.
  7. A qui est ce sac ? - C'est le mien.
  8. Allons-nous-en vite !
  9. Ce pauvre n'a pas de chez lui.
  10. Tu es seul ? - Oui, mes camarades s'en sont allés.


 Fermez cette fenêtre pour revenir aux exercices