HomepageChapter 19 - Adverbs


REMINDER : An adverb is an invariable word that says how an action proceeds (quickly, slowly, etc... ), with which frequency (often, sometimes, never, etc... ). It expresses possibility or certainty (maybe, certainly, etc... ), or qualifies an adjective (very large, quite small, etc... )

In Swahili, the adverb is placed after the verb, except in some particular cases.



 1. COMMON ADVERBS : 


Badala instead of Mno too much
Bure in vain Pamoja together
Ghafla suddenly Ovyo anyhow
Hakika sure Pengine maybe
Halisi exactly Pia also, too
Haraka quickly Sana very
Hasa especially Taratibu regularly
Kabisa completely Tena again
Kadhalika in the same way Tu only
Kamwe never, at all Upesi quickly
Kweli true Upya again
Labda perhaps Zaidi more


ADVERBS FORMED ON THE PREFIXES KI- and VI-

COMPARISON MANNER
Kiaskari like a soldier Hivi in this way
Kidogo a little Hivyo in that way
Kinyama like an animal Vibaya badly
Kipumbavu like an idiot Vigumu difficult
Kishamba like a peasant Vingine in another way
Kishenzi like a savage Vinginevyo in any other way
Kitoto like a child Vivyo in the same way
Kizungu like a white Vizuri well


 2. COMPOUND ADVERBS : 


Hata kidogo not at all
Mbali mbali differently
Moja moja one by one
Peke yake alone
Pole pole slowly
Ovyo ovyo badly
Sawa sawa similarly
Vile vile equally
Vivi hivi so so
Vivyo hivyo exactly the same


ADVERBS MADE UP WITH KWA

Kwa bahati fortunately Kwa kusudi voluntarily
Kwa ghafla suddenly Kwa kutwa daily
Kwa haraka hastily, in haste Kwa kweli really
Kwa hiyo thus, so Kwa sababu hii then, therefore
Kwa kawaida usually Kwa sauti loudly
Kwa kifupi in short Kwa siri secretly


 3. A FEW EXAMPLES : 


Fanya haraka ! Hurry up !
Wamechoka kabisa.They are really tired.
Usijibu ovyo !Don't answer badly !
Jibu vizuri !Answer correctly !
Ngoja kidogo !Wait a little !
Nenda pole pole !Go slowly !
Njoo haraka !Come quickly !
Nimechelewa kidogo.I am a little late.
Mtoto anatumia kisu vibaya.The child uses his knife wrongly.
Sema kwa sauti !Speak aloud !
Ninataka mkate mmoja tu.I want one bread only.
Kusema kiswahili si vigumu.Speaking Swahili is not difficult.
Yeye si mpishi, hata kidogo.He is not a cook, not at all.



VOCABULARY



Chandarua (vy-) a mosquito net Kifuniko (vi-) a cover, a lid
Chura (vy-) a frog Kikoi (vi-) a loin cloth
Kibaba (vi-) a mesure Kipimo (vi-) a mesure
Kinu (vi-) a mortar Kitana (vi-) a comb
Kibuyu (vi-) a calabash, a gourd Kiwanda (vi-) a workshop
Kifo (vi-) death Kizibo (vi-) a cork



EXERCISES



EXERCISE 1 : Translate into Swahili :


  1. Suddenly, together, maybe, only, more, too much, above all, truly, quickly, in vain, again, very, not at all, alone, one by one, fortunately, voluntarily, in short, then, this way.

  2. He speaks like an idiot, he leaves suddenly, we work daily, they hit like savages, this luggage is very heavy, this one is too heavy, the rhinoceros is coming again, hurry up ! The master is maybe coming back today, the little child is eating slowly, this pupil studies regularly, I have one child only, I am completely tired, the guests are a little late, here are the news in brief.



EXERCISE 2 : Translate into English :


Pole pole, vile vile, mbali mbali, sawa sawa, hivyo, vivyo, pengine, labda, hakika, kamwe, kwa kweli, bure, ovyo, pamoja, peke yake, hasa, kizungu, kinyama, kidogo, kwa kawaida.



EXERCISE 3 : Translate into English :


  1. Je, chakula tayari ? - Bado kidogo, bwana.
  2. Usiseme upesi, sema pole pole tu.
  3. Hasemi kitu, hata kidogo.
  4. Kwa bahati mzuri, nimeona kifaru mmoja porini.
  5. Kwa kawaida, mpishi wetu anachelewa kazini.
  6. Fagia chumba hiki, na kile vile vile.
  7. Usinfunge mlango ghafula, tafadhali.
  8. Mtoto ametupa jiwe lile kwa kusudi.
  9. Watoto wanasimama kiaskari.
  10. Gari lile ni ghali mno.
  11. Kwa kweli, chandarua hiki kinafaa kabisa.
  12. Nimepotea kitana changu tena.



Previous Chapter Next Chapter Table of Contents

Valid HTML 4.01 Transitional